ENG

ENG

ENG

Kasi Isambazayo Tabasamu inavuka mipaka!

Jisajili Burundi

Jisajili Tanzania

Jisajili Congo

11 Aug 2024

18 Aug 2024

04 Aug 2024                  

Tarehe za Mbio:

CRDB Bank Marathon inarudi kwa msimu wa tano tangu mbio hizi zilipoanzishwa. Kwa kila msimu unaopita, umaarufu wa mbio hizi unazidi kuongezeka hivyo kuwavutia na wanaotaka kujenga afya zao kutoka kila pembe ya dunia na kusambaza tabasamu kwa wenye uhitaji na jamii.

Vunja Rekodi, Shinda vikwazo

Kasi Isambazayo Tabasamu

Wanufaika na Matukio

Toka kuanzishwa kwake mwaka 2020, CRDB Bank Marathon imesaidia matibabu ya zaidi ya watoto 300 wenye uhitaji wa matibabu ya moyo katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), matibabu ya wakinamama wenye ujauzito hatarishi zaidi ya 100 Hospitali ya CCBRT, Ujenzi wa Kituo cha Mawasiliano Taasisi ya Kansa ya Ocean Road, Ujenzi wa Kituo cha Afya ya Mama na Mtoto Zanzibar, pamoja na kusaidia utunzaji wa mazingira.

CRDB Bank Marathon 2023 ulikuwa ni msimu wa mafanikio makubwa. Zaidi ya wakimbiaji 7,000 walishiriki katika Kasi Isambazayo Tabasamu. Kipekee tunamshukuru Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt Hussein Ali Mwinyi kwa kujumuika nasi. Tunawashukuru pia washirika wetu, pamoja washiriki wote kwa upendo na kujitoa kwao katika kufanikisha lengo tulilojiwekea.

Tumewafikia wengi na kuboresha maisha yao

Matukio ya CRDB Bank Marathon 2023

Kwa Ushirikiano Na;